Mapitio ya Sheria
Huduma ya Uchambuzi, Mapendekezo ya Marekebisho na Mapitio ya sheria
Muhtasari wa Huduma
Mapitio ya Sheria inahusisha kuchunguza sheria zilizopo, kuzilinganisha na mifumo ya kimataifa, na kutoa mapendekezo ya marekebisho ili sheria ziendane na mazingira ya sasa na kukuza utawala bora.
Majukumu Makuu
Kufanya Mapitio ya kitaalamu ya sheria.
Kutoa mapendekezo ya marekebisho ya sheria.
Kuchambua athari za sheria katika jamii.
Kushirikiana na taasisi za kitaifa na kimataifa katika mapitio na utafiti wa sheria.
Kutoa ushauri wa kisheria kwa Serikali.