Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Afisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar - AGCZ

Bendera ya Taifa

Upatikanaji wa Taarifa

Afisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar inaweka wazi taarifa muhimu kwa wananchi, taasisi na wadau kwa kuzingatia sheria, taratibu na miongozo ya Serikali.


Taarifa Zinazopatikana

Wananchi wanaweza kupata taarifa kupitia tovuti hii, matangazo rasmi, nyaraka zilizochapishwa, machapisho, ripoti, miongozo na taarifa nyingine zinazotolewa kwa umma.

Maombi ya Taarifa

Mtumiaji anaweza kuwasilisha maombi ya taarifa kupitia njia rasmi za mawasiliano zilizowekwa kwenye tovuti hii.

Mawasiliano

Kwa maelezo zaidi, tafadhali tumia ukurasa wa mawasiliano au taarifa za mawasiliano zilizopo kwenye tovuti hii.

Wasiliana Nasi