Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Afisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar - AGCZ

Bendera ya Taifa
Maktaba ya Picha

Maktaba ya Picha

Mkusanyiko rasmi wa picha za matukio, mikutano, majengo, viongozi na shughuli mbalimbali za Afisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar.

Tafuta Picha

Chuja kwa jina, mwaka, caption au maelezo ya picha.

Orodha ya Picha

Zimepatikana picha 23.

Happy Maulid Day
Picha
Happy Maulid Day

Afisi ya Mwanasheria Mkuu inawatakiwa Waislamu wote kheri ya Siku ya Maulid.

24 Aug 2026
Happy Maulid Day
Picha
Happy Maulid Day

Afisi ya Mwanasheria Mkuu inawatakiwa Waislamu wote kheri ya Siku ya Maulid.

24 Aug 2026
Pongezi
Picha
Pongezi

Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu, Utawala na Mipango kutoka Afisi ya Mwanasheria Mkuu, Bi. Fatma Idd (katikati) akipongezwa baada ya kuhitimu masomo yake na kurejea kazini, kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Ushauri, Usimamizi wa Mikataba na Uhusiano na kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Mapitio na Utafiti wa Sheria.

13 Aug 2026
Kutoka Baraza La Wawakilishi
Picha
Kutoka Baraza la Wawakilishi

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Dkt; Mwinyi Tlib Haji, akitoa ufafanuzi kwa Wajumbe wa Baraza La Wawakilishi katika ukumbi wa Baraza hilo, Chukwani Zanzibar.

12 Aug 2026
Ushirikiano baina ya AGCZ na CRDB
Picha
Ushirikiano Baina ya AGCZ na Crdb

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi Talib Haji akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Sheria wa Benki ya CRDB, Ndg. Pascal Mihayo baada ya kikao cha ushirikiano baina ya Taasisi hizo.

12 Aug 2026
RAISI WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
Picha
Raisi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Mhe. Rais

03 Jun 2026
Kutoka Mahkama ya Rufaa, Zanzibar
Picha
Kutoka Mahkama ya Rufaa, Zanzibar

Baadhi ya Mawakili wa Serikali wakibadilishana mawazo baada ya kumalizika kwa Shauri la Madai, Mahkama Kuu, Tunguu, Zanzibar.

12 Aug 2026
Maonesho ya Wiki ya Sheria
Picha
Maonesho ya Wiki ya Sheria

Mkurugenzi wa Idara ya Mapitio na Utafiti wa Sheria kutoka Afisi ya Mwanasheria Mkuu, Dkt. Abdul-Nasser Hikmany akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mhe. Rashid Hadid Rashid aliyefika katika Banda la Afisi hiyo katika maonesho ya Wiki ya Sheria, Gombani ya Kale, Chake Chake, Pemba.

12 Aug 2026
Mafunzo ya Misamaha ya Kodi kwa Mawakili
Picha
Mafunzo ya Misamaha ya Kodi kwa Mawakili

Naibu Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Ndg. Shaaban Ramadhan Abdalla (katikati) akiwa na washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa Mawakili wa Serikali yaliyohusu Misamaha ya Kodi.

12 Aug 2026
Msaada wa Kisheria
Picha
Msaada wa Kisheria

Mratibu wa Afisi ya Mwanasheria Mkuu Pemba, Ndg. Massoud Nassor Mohammed akimsikiliza mmoja ya Wananchi wa Shehia ya Vitongoji wakati Afisi hiyo ilipofika Shehia hiyo kutoa Elimu ya Sheria.

12 Aug 2026
siku ya sheria
Picha
Siku ya Sheria

Mwanasheria Mkuu, Dkt. Mwinyi T. Haji akihutubia katika kilele cha siku ya sheria.

14 Jun 2026