Hutuba za AG
Hutuba za AG
09 Feb 2026
Hotuba ya Mheshimiwa Dkt. Mwinyi Talib Haji, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Iliyotolewa katika Kilele cha Siku ya Sheria (Law Day), Tarehe 9 Februari, 2026
Hotuba inaeleza juhudi za Afisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar katika kuimarisha utawala wa sheria, matumizi ya TEHAMA, huduma za kisheria, mapitio ya sheria na utoaji wa elimu ya sheria kwa wananchi.