Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Afisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar - AGCZ

Bendera ya Taifa
Dkt. Mwinyi Talib Haji
Dkt. Mwinyi Talib Haji

Mwanasheria Mkuu

Ndg. Shaaban Ramadhan Abdalla
Ndg. Shaaban Ramadhan Abdalla

Naibu Mwanasheria Mkuu

Huduma Zetu

Huduma zinazotolewa na Afisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar

Uandishi wa Sheria
Uandishi wa Sheria

Kuandaa miswada, kanuni na nyaraka za kisheria.

Soma Zaidi
Usimamizi wa Kesi za Madai
Usimamizi wa Kesi

Uwakilishi wa Serikali mahakamani na vyombo vya usuluhishi.

Soma Zaidi
Ushauri wa Mikataba
Ushauri wa Mikataba

Kusimamia na kupitia mikataba ya Serikali.

Soma Zaidi
Mapitio ya Sheria
Mapitio ya sheria

Utafiti na mapendekezo ya marekebisho ya sheria.

Soma Zaidi

Mwangaza wa Sheria

Soma Zote
Namna Watumishi Wanavyoweza Kupata Fao la Kuumia Kazini kutoka ZSSF
Namna Watumishi Wanavyoweza Kupata Fao la Kuumia Kazini kutoka Zssf

Makala hii inaelezea namna ya Watumishi wanavyoweza kupata Fao la kuumia kazini kutoka ZSSF

Soma zaidi
Fahamu Utwaaji wa Ardhi na Vilivyoendelezwa kwa Maslahi ya Umma
Fahamu Utwaaji wa Ardhi na Vilivyoendelezwa kwa Maslahi ya Umma

Makala hii inaeleza kuhusu taratibu za ulipaji fidia kwa wananchi pale haki yake ya matumizi ya...

Soma zaidi
Ufahamu Ukomo wa Madai ya Kisheria
Ufahamu Ukomo wa Madai ya Kisheria

Makala hii inatoa ufafanuzi wa ukomo wa madai ili kuhakikisha kwamba madai yanawasilishwa kwa w...

Soma zaidi
Uchaguzi na Namna ya Kuunda Serikali Zanzibar
Uchaguzi na Namna ya Kuunda Serikali Zanzibar

Makala hii itajikita kuzungumzia uchaguzi wa Zanzibar baada ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1...

Soma zaidi

Habari na Matukio ya Hivi Karibuni

Angalia taarifa mpya na matukio muhimu kutoka Afisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

WAFANYAKAZI WAHIMIZWA USHIRIKIANO KATIKA KAZI
13 Aug 2026
Imechapishwa: 13 Aug 2026
Wafanyakazi Wahimizwa Ushirikiano katika Kazi

Dkt. Abdul-Nasser akabidhi majukumu kwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Utawala na Mipango Bi. Fatma Idd huku wakihimiza ushirikiano kwa wafanyakazi.

Mawakili Waongezewa Uwezo Katika Utendaji Kazi Wao
28 Jul 2026
Imechapishwa: 28 Jul 2026
Mawakili Waongezewa Uwezo katika Utendaji Kazi wao

Afisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar imetoa mafunzo ya mbinu za utafiti wa sheria kwa watendaji wake ili kuwaongezea maarifa na kuwajengea uwezo wa kufanya tafiti, kupata vyanzo vya taarifa na kuandaa ripoti za kitaalamu kwa lengo la kuimarisha utendaji wa kazi.

Serikali Yashinda Kesi Utaifishaji Mali Zilizohusisha Mapato ya Uhalifu
18 Jun 2026
Imechapishwa: 18 Jun 2026
Serikali Yashinda Kesi Utaifishaji Mali Zilizohusisha Mapato ya Uhalifu

AGCZ na ZDCEA yapata ushindi katika Maombi ya Madai ya Na. 10 ya Mwaka 2024.

Mwanasheria Mkuu: Tutaendelea kupandisha Madaraja Mawakili
18 May 2026
Imechapishwa: 18 May 2026
Mwanasheria Mkuu: Tutaendelea Kupandisha Madaraja Mawakili

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi Talib Haji, amesema Afisi yake imewapandisha madaraja Mawakili wa Serikali Hamsini na Nane (58) kutoka wizara na taasisi mbali kuwawezesha mbali, ili kutekeleza vyema majukumu yao.

Makala za Video

Tembelea video zetu kuhusu masuala ya kisheria, elimu kwa umma, na matukio muhimu.

Mafunzo kwa Mawakili

Afisi ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kwa kushirikiana na Benki ya CRDB imefanya mafunzo kwa Mawakili wa Serikali ya Mapinuduzi ya Zanzibar kuhusu Mikataba yaliyofanyika Ukumbi wa Hotel ya Madinat Al Bahr, Mbweni Zanzibar.

Uapisho wa Mwanasheria Mkuu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kwa kipindi cha pili.

Matangazo

Taarifa rasmi kutoka Afisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar

Matangazo ya Hivi Karibuni
Taarifa mpya kwa umma
Yote
Hakuna Tangazo Kwa Sasa

Tafadhali rudi tena baadaye kuona taarifa mpya.