13 Aug 2026
Wafanyakazi Wahimizwa Ushirikiano katika Kazi
Dkt. Abdul-Nasser akabidhi majukumu kwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Utawala na Mipango Bi. Fatma Idd huku wakihimiza ushirikiano kwa wafanyakazi.